Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Msaada kwa aliyewahi kufanya interview Mwalimu Nyerere University

Habari za asubuhi members, Naomba msaada kwa ambaye ameshafanya interview na Mwalimu Nyerere University of Agriculture and Technology(MJNUAT) kwa nafasi ya INSTRUCTOR GRADE I kada yoyote, namna maswali...

View Article


Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...

View Article


Fursa- ujasiriamali, Kuprint majina kwenye jezi za soka kisasa

Habari wadau. Najua vijana wengi kuna mwamko wa kijasiriamali, kuna mashabiki wengi wa mpira nchini ambao wanapendelea kuvaa jezi za timu zao za ulaya, mitaani, vyuoni, mikoani etc. binafsi nimejiajiri...

View Article

Naomba kuulia, hii Echo-Aid ni kampuni halali?

Mke wangu aliomba nafasi ya kazi iliyokuwa posted kwenye mtandao wa zoomtanzania.com. Ilikuwa inatangazwa na echo-aid (Echo Aid Fund – Humanitarian Assistance). Kwenye zoom walisema wapo based Dar...

View Article

Usaili kwa nafasi za kazi EWURA lini

Wanajamvi , eti kuna yoyote mwenye taarifa kuhusiana na shortlisting kwa nafasi za kazi zilizotangazwa na EWURA April

View Article


Taarifa kutoka JKT kuhusu usaili wa vijana wenye taaluma ya Uandishi wa Habari

View attachment 344143

View Article

Msaada tafadhali!

Kwa wakazi wa Mwanza,Mimi ni binti wa miaka 24.....Naomba kwa yeyote anaejua wapi naweza pata kibarua japo kwa siku iwe kiwandani au sehemu yoyote ile anijulishe,sibagui Kazi!Natanguliza shukrani

View Article

Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafsi Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa Matofali yana mchanganyiko...

View Article


Huyu dada anatafuta kazi kwenye makampuni ya usafi

Aisee wakuu vip kuna m baby mmoja amekuwa akitafuta sana kazi. Ila kwa kweli elimu yake std 7 sasa aliponifuta leo mi nikamuambia hapo labda niangalie utaratibu wa kampuni za usafi hizi huku maofisini....

View Article


Kazi vs Ujasiliamali

Kwanini fursa ya kufanya ujasiriamali ni muhimu Kwanini fursa ya kufanya ujasiriamali ni muhimu ​Kumekuwepo na wimbi la watu wengi sana kufanya uamuzi wa kuingia kwenye ujasiriamali…kuachana na ajira...

View Article

Pata ajira bila kufanya Interview

Habari wana jamii forum,ile kampuni bora kwa uchimbaji wa visima (Tawa Water Proffesional) inatangaza nafasi za kazi kwa wale wataopenda kufanya kazi na sisi. Kikubwa utaitajika kutafuta wateja...

View Article

Machine Operators Needed In Bagamoyo

Job Description A European based food processing company with a branch in Tanzania is looking for very well experienced machine operators with good problem-solving skills. The place of work will be...

View Article

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Katika Magazeti na Mitandaoni leo tarehe 07...

Jop Opportunities at Standard Chartered Bank, Application Deadline: 08 May 2016 Job Opportunities at Acacia Mining, Apply Before: 20 May 2016 Job Opportunities at YETU Microfinance PLC, Application...

View Article


Interview walter reed Mbeya program, wanaita lini?

Mwenye taarifa za hawa jama interview yao ni lini?

View Article

Data entry Sage Pastel Software

Anatafutwa data entry cum Cashier anayejua vizuri kutumia hii software hasa upande wa inventory management. Ofisi iko maeneo ya Kimara wilaya ya Kinondoni Sifa: Astashahada/ stashahada/shahada ya...

View Article


ANAHITAJIKA KIJANA WA KAZI

Anahitajika kijana wa kazi za shambani. Awe ni kijana mchapakazi na awe wa kiume umri usiozidi miaka 20. Na awe ni mkazi wa mikoa ya Arusha ama Kilimanjaro. Kama una ndugu yako au mdogo wako ama jirani...

View Article

NHIF wanaita lini?

Habari zenu wote! Mi nauliza vipi hawa NHIF majibu wanatoa lini Yale tulifanya pale DUCE tar 11 mwezi wa tatu, mwenye taarifa zaidi atujuze.

View Article


Kijana form six mwenye uchungu wa maisha anahitajika haraka kwa sales job

Hi! Anahitajika kijana mmoja haraka, aliemaliza form six, anaeishi hapa dar, kwa kazi ya sales agent wa IT software na hardware za kampuni yetu kwa makampuni mengine. Atapewa nauli kila wiki na akiuza...

View Article

Job vacancies... Nafasi za Kazi

Kibaigwa Flour Supplies ni Kampuni inayokua kwa haraka inayojishughulisha na KILIMO cha kibiashara tangu 2005, inatangaza nafasi 5 za kazi kwa Watanzania wenye sifa waweze kujaza haraka. Nafasi 6: a,...

View Article

NAFASI ZA KAZI Tanzania!

Kibaigwa Flour Supplies ni Kampuni inayokua kwa haraka inayojishughulisha na KILIMO cha kibiashara tangu 2005, inatangaza nafasi 5 za kazi kwa Watanzania wenye sifa waweze kujaza haraka. Nafasi 6: a,...

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>