Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Habari njema kwa walimu wa shule za sekondary nchini Tanzania

Habaripoint.com tumetengeneza mfumo unaoitwa Secondary School Academic Information Managemement System(SSAIMS) Unadownload free: Mfumo huu kazi yake kuu ni kuandaa ripoti za matokeo ya wanafunzi. Mfumo...

View Article


Mwenye taarifa ya TRA kuita watu kazini

Wadau mwenye taarifa na TRA kuita watu kazini wanijuze.

View Article


Nataka kuacha kazi niingie jeshini, naomba ushauri

Waungwana nahitaji ushauri mimi muajiriwa wa halmshauri kitaaaluma ni clinical officer.............lakini nina dhamira ya kuingia jeshini jwtz je nikiamua kuacha kazi huku nilipo haitakuja kusumbua...

View Article

Data entry (Sage Pastel Software)

Anatafutwa data entry cum Cashier anayejua vizuri kutumia hii software hasa upande wa inventory management. Ofisi iko maeneo ya Kimara wilaya ya Kinondoni Sifa: Astashahada/ stashahada/shahada ya...

View Article

Nafasi za Kazi National Health Insurance Fund (N.H.I.F)

Vijana ambao mliomba kazi zile zilizotangazwa mwezi wa 10 na Mkafanya Interview mkiwa wengi Pale Dar es Salaam University College of Education (DUCE) Mkiwa wengi sana. Habari za ndani zinasema mchakato...

View Article


Natafuta mfanyakazi wa Maabara na duka la dawa

Nimeamua kujiajiri na kuajiri wengine kwa kuanzisha maabara inayotoa huduma ya kupima magonjwa mbalimbali kama Malaria, UTI na minyoo. Hivyo natafuta wafanyakazi wa kada mbili. Mmoja kwa ajili ya...

View Article

Kuna aliyeomba kazi Zoom Tanzania akaitwa interview?

Habari yenu wakuuu wa jamvi? Naombeni kuuliza ...hivi kuna MTU alishaomba kazi kupita zoom na akaitwa kwenye Interview katika taasisi au kampuni aliyoomba?????maana nishaomba sana ndani ya website hii...

View Article

Muuza duka la Vipodozi

Natafuta dada kwaajili ya kazi ya kuuza vipodozi,Duka lipo maeneo ya Manzese so nikipata dada anayeishi maeneo ya Magomeni,Usalama,Mwembechai,Kagera,Manzese,Tiptop na Mabibo itakuwa poa coz duka...

View Article


Nanunua madini ,sapphire, green garnet, red garnet, tourmaline, spinal, zircon

View Article


Rais wa vyama vya wafanyakazi apendekeza mifuko ya jamii ipunguzwe

Rais wa vyama vya wafanyakazi apendekeza mifuko ya jamii ipunguzwe katika hotuba aliyomkabidhi rais Magufuli na rais akaahidi kuifanyia kazi mifuko kama PPF,LAPF,NSSF,GEPF PSPF na NHIF. sasa sijui...

View Article

Uvimbe katika mfuko wa uzazi (Fibroid)

View Article

Hivi ajira za mpya za walimu zinatoka lini?

Wadau naomba kufahamishwa ni lini ajira za Walimu zitatoka?

View Article

CISA Review Class Starts Today 09/05/2016

View Article


Ni kweli ajira za walimu hadi mwezi wa saba?

RAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA Jumla ya Walimu wapya 40,000 ambao wamehitimu mwaka 2015 kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini wataajiriwa rasmi na...

View Article

Msaada: Sijatuma maombi ya JKT mpaka sasa

wakuu habari za sasa? mimi ni kijana wa shahada ya kwanza, kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wangu, nilishindwa kutuma maombi ya kujiunga na JKT japo siko nje ya muda. tatizo la kwanza nimekosa...

View Article


Natafuta kazi

Mambo wapendwa mimi ni graphics designer na natafuta kazi ya Graphics Designer.Adobe Illustrator,Photoshop.Animation ni Adobe after Effect,cinema 4d. So naombeni link ya ombi langu hili.

View Article

Tanzania inahitaji watumishi wafanyakazi wa aina gani?

"kama jamii yenyewe inajikita katika uongo, ubabaishaji, uzembe, ubinafsi, uvivu, umbeya, maneno bila vitendo, kula usichokipanda na ila za kila aina, ni kwa vipi jamii hiyo inaweza kuwa na wafanyakazi...

View Article


Advanced Excel & Tally ERP 9 Training in Mwanza

The Computer Skills ( ComSkills) tutaendesha mafunzo ya "ADVANCED EXCEL & Tally ERP 9" Tarehe:27/06 - 01/07/ 2016 Ukumbi: PPF Plaza, 5 floor- Open University Executive Room,Mwanza-City Center...

View Article

Msaada: EIA EXPERTS na NEMC wametoa majibu?

Kama Kuna mtu aliomba registration ya EIA EXPERTS mwaka huu naomba kuuliza majibu yameshatoka au kama Kuna mtu anafanya Kazi NEMC naomba anisaidie kaniambia km majibu yametoka . Thanks in advance.

View Article

Vipi kuhusu ajira za wasaidizi wa ufugaji nyuki

Vijana toka chuo cha mafunzo ya ufugaji nyuki wanaulizia nafasi za kazi maana tangu wamalize hakuna hata tetesi

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>