Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Nataka kuacha kazi niingie jeshini, naomba ushauri

$
0
0
Waungwana nahitaji ushauri mimi muajiriwa wa halmshauri kitaaaluma ni clinical officer.............lakini nina dhamira ya kuingia jeshini jwtz je nikiamua kuacha kazi huku nilipo haitakuja kusumbua siku za usoni kwenye suala la mshahara

Na kama nitafanikiwa kupata nafasi jeshini hapa naondokaje kisheria ili niweze kuwa huru???

Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Trending Articles