Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Pharmacist anahitajika

Kwa ajili ya kusimamia duka kubwa la dawa; pia anatakiwa fundi dawa (pharm tech) na disdensing staff wengine. Wenye sifa tafadhali wanipm na wawe tayari kufanya kazi Dar au Bagamoyo

View Article


Nahitaji Kijana wa Kupika Chips

Habari zenu wana JF Nahitaji kijana wa kiume wa kukaanga chips na kuchoma nyama. Vigezo: 1. Awe anajua kupika chips vizuri 2. Awe anaweza kuchoma aina mbalimbali za nyama 3. Mchangamfu na mwenye...

View Article


Nafasi za kazi Kibaigwa Flour Supplies

Kibaigwa Flour Supplies ni Kampuni inayokua kwa haraka inayojishughulisha na KILIMO cha kibiashara tangu 2005, inatangaza nafasi 5 za kazi kwa Watanzania wenye sifa waweze kujaza haraka. Nafasi 6: a,...

View Article

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA Updates Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye...

View Article

Utumishi wa mahakama lini wadau???

Wataita lini??

View Article


Advanced Excel & Tally ERP 9 Training in Mwanza

The Computer Skills ( ComSkills) tutaendesha mafunzo ya "ADVANCED EXCEL & Tally ERP 9" Tarehe:27/06 - 01/07/ 2016 Ukumbi: PPF Plaza, 5 floor- Open University Executive Room,Mwanza-City Center...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utumishi wa Mahakama wataita lini waliofaulu Interview

Utumishi wa Mahakama wataita lini waliofaulu Interview Plz mwenye kujua

View Article

Naomba ushauri wa hii kozi: Basic technician in animal health and production

Hii kozi unaajiriwa kama nani???na unaweza fanya kazi zipi ???vipi kuhusu soko la ajira lipo???

View Article


Fursa- ujasiriamali, Kuprint majina kwenye jezi za soka kisasa

Habari wadau. Najua vijana wengi kuna mwamko wa kijasiriamali, kuna mashabiki wengi wa mpira nchini ambao wanapendelea kuvaa jezi za timu zao za ulaya, mitaani, vyuoni, mikoani etc. binafsi nimejiajiri...

View Article


Habari

Waungwana nahitaji ushauri mimi muajiriwa wa halmshauri kitaaaluma ni clinical officer.............lakini nina dhamira ya kuingia jeshini jwtz je nikiamua kuacha kazi huku nilipo haitakuja kusumbua...

View Article

Mshahara wa laboratory technician

Habari zenu wadau? Naomba kuuliza mshahara wa laboratory technician mwenye ngazi ya cheti ,mshahara wake unaweza kuwa shilingi ngapi kwa mwezi?

View Article

Tazama hii, ninaamini utanisaidia! Ninakuomba tafadhali

Ninapenda sana kuandika, na ni professionally schooled on it. Mimi ni graduate wa BA English Linguistics. Ningependa kupata kazi kama contributor wa magazine, online source/website au newspaper yoyote...

View Article

Mwongozo wa utumishi wa umma

WanaJF nisaidie sheria za kazi zinasemaje kuhusu mtumishi wa umma anayeenda kusomea kada tofauti na ile aliyoajiriwa nayo? Mf. niliajiliwa kama mwalimu nina miaka 8 kazini na nimejiendeleza kwenye...

View Article


Mashine ya bisi (Popcorn) inahitaji kijana

Habari wana JF. Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza, nina mashine ya bisi ya gesi mpya kabisa na kitololi chake, ambayo naitafutia kijana mwenzangu wa kuiendesha. Sifa: 1. Awe mwaminifu 2. Awe mchangamfu...

View Article

Certified Information Systems Auditor (CISA) Review Class

Ndugu wana Jamii Forums.. True Ink Associates would like to Announce that the Sixth (6) CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled to commence on Monday 14/03/2016, Dar Es...

View Article


Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Check attachment.....

View Article

Mwalimu Nyerere University of Agriculture

Kwa mliofanya interview za Mwalimu Nyerere University of Agriculture, tujuzane format ya mitihani yao wadau.

View Article


Kujiajiri na Oriflame

Orliflame ni kampun ya kisweden iliazishwa mwaka 1967, iko zaid ya nchi 60 dunian, na uzoefu wa miaka 50. Inajihusisha na bidhaa za asilia kuazia kichwan hadi miguuni, kwa wanawake, wanaume na watoto,...

View Article

Looking for microfinace partner

Wakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja...

View Article

Msaada kwa aliyewahi kufanya interview Mwalimu Nyerere University

Habari za asubuhi members, Naomba msaada kwa ambaye ameshafanya interview na Mwalimu Nyerere University of Agriculture and Technology(MJNUAT) kwa nafasi ya INSTRUCTOR GRADE I kada yoyote, namna maswali...

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>