Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Certified Information Systems Auditor (CISA) Review Class

Ndugu wana Jamii Forums.. True Ink Associates would like to Announce that the Sixth (6) CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled to commence on Monday 14/03/2016, Dar Es...

View Article


NFT ni jipu la kutizamwa kwa sasa

Recruiting Agency ijulikanayo kwa jina la NFT CONSULT ambayo inamkataba na tigo mpaka leo hii tar11 haijalipa mishahara ya wafanyakazi wanaofanyakazi tigo walioko chini ya NFT, kwa mujibu wa mfanyakazi...

View Article


Waraka wa Serikali kuhusu watumishi wenye CPA

Mwenye nao, msaada tafadhali

View Article

Maswali ya written interview kwa nafasi ya bank teller NMB bank

Mambo wakuu, Nimeitwa NMB Nothern Zone hapa Arusha,nilikua naomba mnisaidie kunipa format ya maswali wanayouliza kwenye written zao. Shukrani

View Article

Msaada: Wenye uzoefu wa Skype Interview

Ndugu zangu nimetumiwa ujumbe wa 30 minutes skype interview siku ya jumatano saa 10 jioni baada ya kufanya 'job application' nchini canada.sina uzoefu na matumizi ya skype na vilevile computer...

View Article


Kurudishwa kwenye Government Payroll

Ndugu wanabodi, niliajiriwa mwaka 2010 Halmashauri fulani lakini sikwenda ,mwaka huu nikaomba ajira nikapata tatizo limetokea kwenye system inaonekana tayari nimeshaajiriwa. Wakuu naomba msaada wa...

View Article

Uhai Tanzania.

Awa jaamaa ciwaelewi. Lengo ni kuchangisha ama kutoa Ajira. Hawaishi kusema uje kwenye séminaire na viingilio. Amaja jaza form fulani ambayo pia inagharama. Mnao ijua vzuri hawa jamaa nikweli ama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia mafunzo ya JKT kwa kujitolea...

Nafasi zimeshaanza kutangazwa ktk baadhi ya wilaya zenu hivyo kwa wale wanaohitaji nenda ktk wilaya yako husika ktk office za mshauri wa mgambo Kwa wale wa wilaya ya kinondoni mkoa wa dar es salaam...

View Article


Walioitwa kazini MJNUAT

hongera sana wale walioitwa kazini MWL. JULIUS NYERERE UNIVERSITY OF AGRICULTURE AND TECHNOLOGY................................ kuna wengine mpaka sasa hawajatuma recommendation letter kutoka kwa...

View Article


New jobs at TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation)

Please find Jobs at TPDC website www.tpdc-tz.com or download attachment

View Article

Energy Innovation Challenge 2016(Competition)

Technological innovations for providing electricity services to rural villages have recently started to change the landscape of off-grid energy across the world, especially in East Africa. Access to...

View Article

Kuhusu TRA Oral interview

Tarehe 15dec mwaka jana kulifanyika Oral interview kurasini kwa nafasi mbalimbali zilizotolewa na TRA,,nilifanya usahili kwa nafasi ya customs,nahitaji kujua kwa anaefahamu kama TRA tayari wameshaita...

View Article

Natafuta kazi (Arusha)

Hi wakuu,natumai hamjambo. Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo. Wasifu wangu; Form four,college (Nina Advance...

View Article


Utumishi wa Mahakama wataita lini waliofaulu Interview

Utumishi wa Mahakama wataita lini waliofaulu Interview Utumishi wa Mahakama wataita lini waliofaulu Interview

View Article

Vijana unganisheni Idea zenu mjiajiri katika sekta binafsi

Imekua sasa ni desturi kwa kila kijana kufikiria kuajiriwa katika serikali au makampuni binafsi. Nadhani ifike mahali wakae chini wachange mawazo na kujiajiri binafsi yaani self employment, kwa mfano...

View Article


Nahitaji dada, mfanyakazi za ndani

Dada wa kazi za ndani yaani house girl anahitajika awe na umri wa miaka kuanzia 18 na asizidi umri wa miaka 20 pia awe na nia kujiendeleza katika taaluma ya ufundi. Naombeni tusaidiane katika hilo kwa...

View Article

Kuhairishwa usaili jeshi la zima moto na uokozi

wakuu kuna habari kuwa ule usaili sajini na konstebo wa zima moto uliopagwa kufanyika tar 20/04/2016 umeahirishwa kwa muda usiojulikana, kwa yeyote anayefahamu atusaidie ukweli wa hizi habari.

View Article


Kuitwa kwenye usaili UDOM

habari zenu wakuu mrejesho kwa walioitwa ktk usaili chuo kikuu cha dodoma

View Article

Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa kubadilishana nao...

View Article

Mwalimu Commercial Bank bado?

jamani tujuzane mwalimu bado hakuna aliewapigia simu

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>