Ndugu wanabodi, niliajiriwa mwaka 2010 Halmashauri fulani lakini sikwenda ,mwaka huu nikaomba ajira nikapata tatizo limetokea kwenye system inaonekana tayari nimeshaajiriwa.
Wakuu naomba msaada wa mawazo yenu na yeyote aliye tayari kunisaidia.
Wakuu naomba msaada wa mawazo yenu na yeyote aliye tayari kunisaidia.