Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Mpaka sasa sijapata kazi, mimi ni Food technologist

Habari zenu wakuu! Nilitoaga tangazo hapa, kuwa mimi nina bachelor degree of science in food science and technology nimemaliza mwaka jana (2015). Nimeangaika sehemu mbalimbali kutafuta kazi lakini...

View Article


Nafasi za Kazi Gazeti la JAMHURI

TANGAZO: Kampuni ya Jamhuri Media Limited wachapishaji wa Gazeti la Uchunguzi la JAMHURI inatangaza nafasi 2 za kazi ya uandishi wa Habari. SIFA: Mwombaji awe na Shahada ya Kwanza ya Uandishi wa Habari...

View Article


Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...

View Article

Inaumiza sana kwa huyu Mtoto Jamani

Ana umri wa Miaka 17 hana wazazi ( yatima) toka mwezi wa 1 mwaka huu hajaenda shule mwaka huu alitakiwa awe kidato cha3 in short shule imemshinda kwa sababu zifuatazo.. 1,Hana uwezo wa kujikimu kama...

View Article

Any new skills on demand that I should learn?

I've graduated last year and I'm unemployed. They say if you want to be very successful in life you should invest in yourself thus I chose to use this period learning new skills with the help of the...

View Article


Haya! Changamkia 'Offer' hii ya BURE sasa. Ufanikiwe.

Ndio! Jipatie offer ya BURE ya: 1. Proforma Invoice Template 2. Tax Invoice Template 3. Delivery note template 4. Headed Paper Template 5. Biz Card Template 6. Payment Receipt Template Kwa kila kazi...

View Article

Advanced Excel & Tally ERP 9 Training in Mwanza

The Computer Skills ( ComSkills) tutaendesha mafunzo ya "ADVANCED EXCEL & Tally ERP 9" Tarehe:27/06 - 01/07/ 2016 Ukumbi: PPF Plaza, 5 floor- Open University Executive Room,Mwanza-City Center...

View Article

Looking for microfinace partner

Wakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja...

View Article


Tangazo la kazi kwa watanzania waishio China, toka 16Lao

Hamjambo washikaji wangu: Hapa nataka kuuliza kama kikiwa na mwenyeji wa tanzania au kenya wanoishi nchini china wanaotaka kupata kazi? Kampuni yangu iko mjini Beijing,nchini China, inashughulikia...

View Article


Vodacom Interview ya Sales Executive

Habari! Juzi Mshkaji wangu alipata email ya Kwenda kufanya interview ya "Sales Executive" VODACOM Co. Mlimani. Lakini alipofika hakukuwa na interview cha kwanza na pili kulikuwa na maelezo ya kazi...

View Article

KWA MAHITAJI YA MARKETING PLAN,BUSINESS PLAN NA BUSINESS GUIDANCE KWA UJUMLA...

Wakuu habari zenu humu? Kwa wenye biashara ambazo hazifanyi vizuri kama walivotegemea au kwa wale wanaotaraji kuanzisha biashara au wale wenye mitaji na hawajui wafanye biashara gani kulingana na...

View Article

Kazi ya Uandishi katika mitandao (Social Media)

Natafuta kazi ya Uandishi na upakiaji data katika mitandao. 0652262797

View Article

Mtoto huyu anatafuta kazi yoyote halali

Ana umri wa Miaka 17 hana wazazi ( yatima) toka mwezi wa 1 mwaka huu hajaenda shule mwaka huu alitakiwa awe kidato cha3 in short shule imemshinda kwa sababu zifuatazo.. 1,Hana uwezo wa kujikimu kama...

View Article


Tunatafuta Actor/Actress To Volunteer / Muigizaji wa Kike/Kiume wa kujitolea

Hi. Tunatafuta Muigizaji wa Kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 22-27 na awe anajua sana kuigiza. SIFA ZA MWOMBAJI awe anajua sana kuigiza awe na elimu isiyopungua kidato cha Nne na kuendelea awe...

View Article

Nafasi za kazi viwandani

Wadau wa JF habari naleta kwenu ombi langu la mtu yeyote atakaeweza kunisaidia kupata kazi viwandani kwa hapa Dar, kazi iwe yoyote kiwanda chochote nifanye kazi kama kibarua

View Article


Nafasi za kazi - Mwanza kwanza

Wanahitajika wafanyakazi kwenye kampuni ya ulinzi jijini Mwanza kwanza. Personal secretary nafasi moja. Walinzi nafasi 20 Madreva wawili. Usafi nafasi 10 wasiliana nasi kwa e-mail...

View Article

Serikali yamwaga ajira nchini

SERIKALI inatarajia kumwaga ajira kwa askari na walimu katika mwaka ujao wa fedha huku ikisisitiza walimu kwamba watakaokaidi kwenda kuripoti kwenye mikoa ya pembezoni na baadaye kuamua kuomba tena,...

View Article


Data entry (Sage Pastel Software)

Anatafutwa data entry cum Cashier anayejua vizuri kutumia hii software hasa upande wa inventory management. Ofisi iko maeneo ya Kimara wilaya ya Kinondoni Sifa: Astashahada/ stashahada/shahada ya...

View Article

Mwalimu wa Hesabu/Geog Anatafuta Ajira

Wakuu Salamu Kwenu, Kuna kaka yangu alimaliza kidato cha sita 2004 mchepuo wa EGM, hakupata bahati ya kuendelea mbele kupata shahada baada ya kupata div 3. Alipata nafasi ya kufundisha baadhi ya shule...

View Article

Kwa ma HR na watu wengine wenye uelewa naomba mawazo yenu hapa.

Kuna bwana mdogo alifanya aptitude test last week kwenye shirika moja la kimataifa.leo ametumiwa hii email ambayo yeye hajaielewa akaomba msaada kwangu Dear candidate,your marks score are 69.5% which...

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>