Kuna bwana mdogo alifanya aptitude test last week kwenye shirika moja la kimataifa.leo ametumiwa hii email ambayo yeye hajaielewa akaomba msaada kwangu
Dear candidate,your marks score are 69.5% which is below average level,unfortunetely you will proceed with next level of interview.
Regards
Kinachotuchanganya wote ni kwamba wamemuambia marks zake ziko below average na wkt huo huo wanamuambia ataendelea na next stage ya interview.kuna aliyeelewa tofauti hapo,maana wengne kiinglish ni shida.
Dear candidate,your marks score are 69.5% which is below average level,unfortunetely you will proceed with next level of interview.
Regards
Kinachotuchanganya wote ni kwamba wamemuambia marks zake ziko below average na wkt huo huo wanamuambia ataendelea na next stage ya interview.kuna aliyeelewa tofauti hapo,maana wengne kiinglish ni shida.