Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Matokeo ya kupangiwa kazi utumishi

Matokeo ya kupangiwa kazi utumishi,mbona kada ya COMPUTER OPERATOR II awajapangiwa ina maana wamefeli wote au 17 march adi 22 march

View Article


Nafasi za kazi TANROADS

Axle Load Supervisor 2. Weighbridge Operators 3. Weighbridge Collectors 4. Supplies Assistant 5. Records Management Assistants 6. Driver 7. Office Attendants MODE OF APPLICATION All Interested...

View Article


Nimeitwa kwenye usahili, Naomba ushauri

Habari ndugu wanajamv! Naomba msaada toka kwenu. Nimeitwa kwenye usahili na shirika fulani kanda ya kaskazini. Position ni Gender Officer! Kwa waliowahi fanya usahili ya position ya Gender naomba...

View Article

Interview at busara center behavioral economics

Habari wanajamvi, nimeitwa interview ya Program Officer na awa jamaa wanaitwa Busara Center Behavioral Economics, yoyote mwenye kuwajua anasaidie details zao plz. ASANTE

View Article

Interview at Busara Center Behavioral Economics

Habari wanajamvi, nimeitwa interview ya Program Officer na hawa jamaa wanaitwa Busara Center Behavioral Economics, yeyote mwenye kuwajua anasaidie details zao plz. Asante.

View Article


Interview at Busara Center Behavioral Economics

Habari wanajamvi, nimeitwa interview ya Program Officer(temporary job) na compuni inaitwa Busara Center Behavioral Economics, yoyote mwenye kuwajua plz anasaidie details zao (mfn. malipo nk). ASANTE

View Article

Interview at Busara Center Behavioral Economics

Habari wanajamvi, nimeitwa interview ya Program Officer(temporary job) na compuni inaitwa Busara Center Behavioral Economics, yoyote mwenye kuwajua plz anasaidie details zao (mfn. malipo nk). ASANTE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

Nafasi zimeshaanza kutangazwa ktk baadhi ya wilaya zenu hivyo kwa wale wanaohitaji nenda ktk wilaya yako husika ktk office za mshauri wa mgambo Kwa wale wa wilaya ya kinondoni mkoa wa dar es salaam...

View Article


MOVIES & SERIES(1080p)

Habari! Je unahitaji quality MOVIES na SERIES mpya na hot. Nakupatia kwa hard disk(HDD)500GB kwa Tshs.180,000 na 1TB kwa Tshs.250,000. Vile vile kwa USB flash 32GB kwa Tshs. 40,000. Niko dar na...

View Article


msaada plz

nitanroad ya kagera wameanza ita watu kwenye usail asa minilitaka kujua nimaswali gani ya cashier wanapendaga kuuliza both writen na oral

View Article

CISA Review Class Starts on 02/05/2016

True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start on 02/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration is 5 weeks,...

View Article

msaada nimeitwa kwenye interview

nilikuwa nauliza maswali gani ya interview yanaulizwa kwenye post ya kacashier

View Article

Usaili wa I&M Bank Kariakoo branch

Wadau habari zenu, kuna usaili ulifanyika wa kutafuta Direct sales agents wa I & M Bank Kariakoo branch, ningependa kufahamu kama kuna mwenye ‘updates' zozote...

View Article


--- Article Removed ---

*** *** *** RSSing Note: Article removed by member request. *** ***

View Article

Rafiki yangu amesoma kilimo anatafuta kazi

kwa yeyote ambaye anaweza kumsaidia amehitimu certificate ya kilimo namba yake ni 0752510642, nataguliza shuranni zangu.

View Article


Mrejesho kazi

habarini wakuu! Nilitoa tangazo hapa kuwa natafuta kazi yoyote ile iliyo halali elimu yangu Bachelor of science in food science and technology. Lakini mpaka sasa sijapata kazi yoyote ya kuuniingizia...

View Article

kuhusu kushare habari na kupata malipo mtandaoni

ni kampuni gani au blog gani ambayo inalipa kwa mpesa, tigopesa au airtel money endapo utashare habari zao kwenye akaubti yako facebook au kwenye blog yako?. nimeuliza maana nasikia makampuni mengi...

View Article


Zimamoto wamezima usaili kisa hiki hapa

zimamoto waliokuwa wafanyiwe usahili tar20 april 2016 ghafla bin vuu mara wakasitisha hiki ndio chanzo kutoka kwa taarifa zilizofuja kikosini makao makuu iko hv majina walioomba nafasi za konstebo...

View Article

Nahitaji msaada wa haraka toka kwenu wadau

Naamin mmeamka salama kabisa. Naombeni kufahamu zaid kuhusu QUALITY ASSURANCE OFFICER katika viwanda vya chakula hapa nchini. Pia katika ngazi ya degree but no experience(namaanisha pure graduate from...

View Article

Nataka kuacha kazi, ushauri tafadhali!

Nilibahatika kuajiriwa katika moja ya kampuni ya wahindi miaka mitatu na nusu iliyopita baada ya kukaa nyumbani bila kazi kwa mwaka mmoja na nusu tangu kuhitimu chuo kikuu. Nilianza na mshahara wa laki...

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>