Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Tangazo la kuitwa kwenye usaili

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea, Taasisi za Serikali, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa (MDA’s na...

View Article


Jiajiri na ORIFLAME

Unataka kupendeza???? ,kuondoa makunyazi?manyama uzembe je??uzeee??? Oriflame inakupa hii fursa kwa kutengeneza ngozi yako kwakutumia vipodozi asilia visivo na kemikali amabvo vitakuwa sambamba na...

View Article


Darasa la computer

Jamani naombeni kwa anaefahamu sahemu nzur wanayotoa kozi za computer ila mi nahitaji kwa ID printing tu.

View Article

Expart Linkers, hawa ni matapeli?

Hawa jamaa EXPART LINKRS walitoa nafasi nyingi za kazi iv majuz ila ajabu wame shortlist watu alafu wanadai interviewee aje na 25,000/TSH ..jaman hawa ni majipuu

View Article

Vijana tujiajiri, muda wa kuajiriwa umekwisha

Habar za sasa, katika pitapita zangu nmekutana na hii story nkaona niwashirikishe vijana wenzangu, mimi ni consultant wa oriflame, kampuni inayodeal na bidhaa za urembo, na mara nyingi...

View Article


Mwenye uelewa na Performance Management Tools ambazo ni common kwa Makampuni...

Kwa sasa nafahamu OPRAS ndio inayotumika sana hususani upande wa serikalini yan MDA's na LGA's, Je kuna zipi nyingine ambazo zinatumiwa na makampuni ama taasisi nyingi kwa Tanzania mwenye uelewa wa hii...

View Article

Jihadhari na utapeli wa kupatiwa ajira

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUIBUBUKA KWA MAKUNDI YA UTAPELI. Katika siku za hivi karibuni katika maeneo mbalimbali hapa nchini, kumejitokeza makundi ya watu ama mtu binafsi...

View Article

Jamani naomba kwa anaejua sehemu nzuri ya darasa la computer

View Article


Usaili NECTA ni lini?

Hiv hawa jamaa wa NECTA wameishatoa majina ya usaili katika post yao ya kazi tarehe 8 February 2016 . plz km in a information yeyote share nami

View Article


TRA Customs Assistants 2016

Habari wadau! TRA walitangaza nafasi mwanzo wa mwaka huu! Nahitaji kujua kama kuna watu wameshapata any updates regarding those posts! Ahsante!

View Article

Nafasi za Kazi

Habar Vijana wenzangu, nahtaji Vijana Wa Kufanya nao Kazi ya kuuza sabuni za alovera na manjano kwa hapa dar, kwa ambao wako tiyar mnakaribishwa sana piga 0654957658

View Article

Ni nani anaerudisha mtumishi kwenye payrol?

Kumekuwa na sintofahamu nani anaerudisha mtumishi kwenye payrol kama ni katibu mkuu elimu tamisemi au katinu mkuu wizara ya elimu au wote wanamamlaka.msaada hapo

View Article

Ajira serikalini kwa sasa kimya

Naona mwaka huu ajira zimechelewa sana.. Sijui itakuwaje maana hata za Afya zinazowahi kutoka azieleweki lini zitatoka hatari sana

View Article


Natafuta kazi

Nina degree ya food science and technology, kwa yeyote mwenye nafasi naomba anisaidie nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote.Natanguliza shukrani.

View Article

MUHAS hawako fair kabisaa!!

J4 kulikuwa na written interview pale chuo cha Muhimbili (MUHAS) Nimeingia kwenye pepa nkakuta 98% ya maswali yote nayajua na nikayajibu ki ufasaha na kujisemea kuwa lazima oral niwemo, in short ule...

View Article


Msaada wa jinsi ya kutuma barua ya kazi kwa njia ya barua pepe (e-mail)

Jamani hivi ukiandika barua ya maombi ya kazi huwa ukishamaliza kuiandika kwenye Microsoft word unai-copy halafu unai-paste kule kwenye e-mail kwenye chmba cha ujumbe? Au unai-attach kama CV au...

View Article

Kazi inatafutwa

Habari zenu jamani Mimi hapa natafuta kazi yoyote iliyo halali hata ya kuuza duka la vyakula sawa maana hapa nilipo sina hata sehemu ya kulala nimehifadhiwa kwa rafiki yangu. Nipo dar ni mwanaume elimu...

View Article


Nafasi ya kazi lodge

KIJANA WA KAZI ANATAFUTWA ASIYE ZIDI UMRI WA MIAKA 25, NA AWE NA ELIMU ISIYO PUNGUA FORM FOUR Contacts: 0719317115

View Article

Natafuta nafasi ya uwalimu Wa masomo ya hesabu na uhasibu

Mimi ni Mwalimu Wa hesabu na uhasibu Kwa o level na A level,natafuta nafasi ya masomo hayo Kwa mkoa Wa morogoro na dar es salaam.napatikana Kwa kupitia namba 0714411927/0755942150

View Article

Nafasi ya kazi kwa mtu mwaminifu sana

Kwanza, naomba kuwashukuru wote walioonesha interest na kazi hii. Pili, sasa naomba nitoe ufafanuzi kiasi kuhusu kazi yenyewe: Kazi inahusu biashara ya mifugo na bidhaa zake (sio nguruwe), eneo la...

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>