Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live

Mrejesho kuhusu kuajiriwa Benki ya Posta

Habari zenu wanajamvi? Natumai, mu wazima na mmeianza wekend vyema, niende moja kwa moja kwenye mada, baada ya kutoa raramiko langu, na kuungw mkono, na watu wengi liliro husu mfumo mbovu na mbaya wa...

View Article


Taarifa kutoka JKT kuhusu usaili wa vijana wenye taaluma ya Uandishi wa Habari

View attachment 344143

View Article


Researcher anapatikana

Kwa yeyote mwenye uhitaji wa mtu wa kufanya research kwa lugha ya kiingereza au kiswahili sehemu yoyote ile tuwasiliane

View Article

HR specialist : Availability, shortage and distribution of workforce

POSITION DESCRIPTION: The hired Human Resource specialist will be required to take stock on availability, shortage and distribution bottlenecks of workforce in the Agricultural sector. The exercise aim...

View Article

Anayejua habari za JKT

Wakuu mwenye kujua habari za JKT kujitolea 2015 Atujuze. Mbona sisi tunaofanyiwa mipango mwaka huu wametuchelewasha kuingia kambini? Na wakati wenzetu mafunzo teali wameshaanza.. unakuta mtu...

View Article


wale mafundi bingwa wa kujenga tiles, marble, tarazo, mosaic na paving blocks...

Kwa mahitaji ya kujengewa tiles, marble, tarazo, mosaic na paving blocks kwa mitindo mbali mbali na ya kisasa zaidi wasiliana nasi kwa no zifuatazo: 0654-121218 na 0626-697824 na whatsapp kwa picha...

View Article

NHIF wanaita lini?

Habari zenu wote! Mi nauliza vipi hawa NHIF majibu wanatoa lini Yale tulifanya pale DUCE tar 11 mwezi wa tatu, mwenye taarifa zaidi atujuze.

View Article

Nafasi ya kazi

Nahitaji msichana wa kufanya kazi kwenye kiwanda kidogo cha chakula.Awe na sifa zifuatavyo. 1.Aliyemaliza kidato cha nne kati ya 2010 hadi 2015 na anajua kujieleza vizuri kwa kiswahili na kiingereza....

View Article


Mpaka sasa sijapata kazi, mimi ni Food technologist

Habari zenu wakuu! Nilitoaga tangazo hapa, kuwa mimi nina bachelor degree of science in food science and technology nimemaliza mwaka jana (2015). Nimeangaika sehemu mbalimbali kutafuta kazi lakini...

View Article


Advanced Excel & Tally ERP 9 Training in Mwanza

The Computer Skills ( ComSkills) tutaendesha mafunzo ya "ADVANCED EXCEL & Tally ERP 9" Tarehe:27/06 - 01/07/ 2016 Ukumbi: PPF Plaza, 5 floor- Open University Executive Room,Mwanza-City Center...

View Article

Doh! Hawa matapeli hadi wamekuwa kero sasa

Hello, am Mr. KAUGA from RUMION SUPPLIES LTD Dar, tupo kikaoni tunapitia cv za kuinterview for CUSTOMER CARE(EXECUTIVE) post, CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi kwa masharti yafuatayo, salary...

View Article

Kazi vs Ujasiliamali

Kwanini fursa ya kufanya ujasiriamali ni muhimu Kwanini fursa ya kufanya ujasiriamali ni muhimu ​Kumekuwepo na wimbi la watu wengi sana kufanya uamuzi wa kuingia kwenye ujasiriamali…kuachana na ajira...

View Article

Naomba kufahamu viwango vya mishahara Postal Bank

Naomba kujua viwango vya mishahara tanzania postal bank,ususani kwenye cal centre controlor

View Article


Mshahara wa laboratory technician

Habari zenu wadau? Naomba kuuliza mshahara wa laboratory technician mwenye ngazi ya cheti ,mshahara wake unaweza kuwa shilingi ngapi kwa mwezi?

View Article

Utumishi wa mahakama lini wadau???

Wataita lini??

View Article


Kujiajiri ndo njia sahihi nionayo ya kutimiza ndoto zetu

Labda sikuzote tunapenda kuongea kwa kuwatolea mfano wenzetu na kuacha nafsi zetu. Nasema hivi njia pekee ya kutimiza ndoto zako ni kujiajiri mwenyewe, ninaposema kujiajiri simaanishi uwenakitu kimoja....

View Article

CPC Score

Habari zenu wakuu, Kuna sehemu nili apply nafasi ya kazi, nimetumiwa email na wamesema niwatumie hiyo psychometric CPC score, Ni nini hiyo kitu wakuu? Ni kipimo cha hospital au? Shukran

View Article


Usaili wa JKT visiwani Zanzibar umefikia wapi ??

Juzi tuu JKT walitangaza nafasi za kujiunga na JKT kwa mwaka 2016/2017 kwa kujitolea na kutaja sifa za mtu ambae anaweza kujiunga na jeshi ilo kwa fununu nilizonazo bara kuna baadhi ya wilaya tayari....

View Article

Kazi tume ya ushindani (FCC)

WAWEZA KUZIPATA HAPA PIA http://www.competition.or.tz/fcc_files/public/re_advert_for_counterfeits_director.pdf The Fair Competition Commission (FCC) invites applications from suitably qualified...

View Article

Usaili mchujo utumishi

Wadau naomba mtu anayefahamu kuhusu usaili mchujo utumishi post supplies officer,nasikia ni written,huwa wanatoa maswali ya aina gani hasa,pls jmn!

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>