Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live
↧

Natafuta kazi ya kujitolea, eneo la kazi liwe airport

Mimi kijana wa miaka 22 natafuta kazi ya kujitolea kampun yoyote iliyopo airport mimi nimesomea mambo ya clearing and forwarding pamoja na information technology ngazi ya cheti ntafute kwenye email...

View Article


Handshake kwenye Interview

Nimeitwa kwenye interview kesho asubuhi na mapema. Nahitaji kujua kwamba je kuna umuhimu wowote wa kutoa handshake baada ya kufungua mlango na kuingia ndani, na kukutana na interviewer? Na usipotoa...

View Article


Nafasi ya kazi kwa mtu mwaminifu sana

Kwanza, naomba kuwashukuru wote walioonesha interest na kazi hii. Pili, sasa naomba nitoe ufafanuzi kiasi kuhusu kazi yenyewe: Kazi inahusu biashara ya mifugo na bidhaa zake (sio nguruwe), eneo la...

View Article

Natafuta kazi ya stationary

Elimu:FORM IV pia nimesomea computer,nina Uzoefu zaid 3yrs nikifanya Stationary,Internet na PASSPORT SIZE No.0673306352

View Article

Advanced Excel & Tally ERP 9 Training in Mwanza

The Computer Skills ( ComSkills) tutaendesha mafunzo ya "ADVANCED EXCEL & Tally ERP 9" Tarehe:27/06 - 01/07/ 2016 Ukumbi: PPF Plaza, 5 floor- Open University Executive Room,Mwanza-City Center...

View Article


Nafasi za kazi TANROADS Arusha

habari wadau jaribuni kucheki fursa izo kwa atae guswa ajaribu kutuma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubaguzi Bodi ya mapato Zanzibar (ZRB)

Kama mnayofahamu Bodi ya mapato Zanzibar ipo chini ya Wizara ya Fedha ya Tanzania na ni sehemu ya Muungano wetu.. Cha ajabu na kushangaza Bodi hii imetangaza Nafasi za Ajira ila kigezo lazima uwe na...

View Article

Natafuta kazi yoyote halali ya kuniingizia kipato

Habar zenu Wana jf mm ni kijana wa kitanzania nimejitokeza kwenu kuomba Kazi yyt halal ya kuniingizia kipato. 0654957658

View Article


Kazi ya Cashier (Pharmacy Store)

Nimepata kazi ya Cashier pharmacy store baada ya mda mrefu kuhangaika bila mafanikio kama miaka miwili na miezi 3 though nilifanya Fanya zingine na kuacha ila sizihesabu naombeni mnitie moyo nifanye...

View Article


Zimamoto wamezima usaili kisa hiki hapa

zimamoto waliokuwa wafanyiwe usahili tar20 april 2016 ghafla bin vuu mara wakasitisha hiki ndio chanzo kutoka kwa taarifa zilizofuja kikosini makao makuu iko hv majina walioomba nafasi za konstebo...

View Article

Utumishi wa mahakama kimya jamani, wataita lini kazini?

[emoji15]

View Article

SMZ acheni ubaguzi kwenye nafasi za kazi

Sabakher Wadau; Leo Katika Pita Pita Zangu Nikapita Zoom Kwenye Nafasi Za Kazi! Nafasi Kibao Zipo Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar! Sasa Kwenye Requirements; 1.AWE RAIA WA ZANZIBAR. Duh! Jaman Kumbe...

View Article

Mwalimu commercial bank ilikuwa kiini macho au?

Nafasi zilizotangazwa na mwalimu commercial bank zilikuwa kiini macho? maana mpaka sasa kimya hakuna jipya!

View Article


Majina ya watu waliofanya usaili 19/04/2016

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 19-04-2016 Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti halisi (Original Certificates) KADA: CHEMIST II MWAJIRI: GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AGENCY...

View Article

Anayejua habari za JKT

Wakuu mwenye kujua habari za JKT kujitolea 2015 Atujuze. Mbona sisi tunaofanyiwa mipango mwaka huu wametuchelewasha kuingia kambini? Na wakati wenzetu mafunzo teali wameshaanza.. unakuta mtu...

View Article


Tunahitaji kazi ya Kufundisha Biolojia Na Chemia Shule za Binafsi

Habari Wadau Sisi ni walimu tarajali, tunategemea kuhitimu Chuo miezi mitatu ijayo Tumebobea Kwenye masomo ya Chemia Na Bilojia toka UDOM tunaomba Kama kuna sehemu kuna uhitaji wa Walimu Wa aina hii...

View Article

Fursa- ujasiriamali, Kuprint majina kwenye jezi za soka kisasa

Habari wadau. Najua vijana wengi kuna mwamko wa kijasiriamali, kuna mashabiki wengi wa mpira nchini ambao wanapendelea kuvaa jezi za timu zao za ulaya, mitaani, vyuoni, mikoani etc. binafsi nimejiajiri...

View Article


Pata ajira bila kufanya Interview

Habari wana jamii forum,ile kampuni bora kwa uchimbaji wa visima (Tawa Water Proffesional) inatangaza nafasi za kazi kwa wale wataopenda kufanya kazi na sisi. Kikubwa utaitajika kutafuta wateja...

View Article

Rafiki yangu amesoma kilimo anatafuta kazi

kwa yeyote ambaye anaweza kumsaidia amehitimu certificate ya kilimo namba yake ni 0752510642, nataguliza shuranni zangu.

View Article

Hivi kuna form six mwenye division 2 ni office attendant serikalini?

embu mwenye taarifa hizo anijuze.kama hawa watu wapo na waliwezaje kuvuka interview

View Article
Browsing all 14968 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>