Wakuu mwenye kujua habari za JKT kujitolea 2015 Atujuze.
Mbona sisi tunaofanyiwa mipango mwaka huu wametuchelewasha kuingia kambini? Na wakati wenzetu mafunzo teali wameshaanza.. unakuta mtu anaekufanyia mipango yupo kule MMJKT anakwambia subiri utaingia!
Je kuna watu huwa wanaripot katikati ya six week?
Mbona sisi tunaofanyiwa mipango mwaka huu wametuchelewasha kuingia kambini? Na wakati wenzetu mafunzo teali wameshaanza.. unakuta mtu anaekufanyia mipango yupo kule MMJKT anakwambia subiri utaingia!
Je kuna watu huwa wanaripot katikati ya six week?