Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Swali kwa UHAMIAJI na kwa anaejua yoyote

$
0
0
Swali Langu,

Kamishna Mkuu wa Uhamiaji alitangaza Ajira:October,2015 na walioomba hawajaitwa kwenye usaili mpaka Leo wala kutoa majina yao ghafla Kamishna kasimamishwa kazi Je? watoto waliotuma maombi wanawasaidiaje au inakuwa basi tenaa 2, kwanini wamechukua mda mrefu sanaa bila kuwaita watoto kwenye usaili ?

"NAOMBENI MSAADA WENU "

Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>