Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Ushauri: Ahofia kupoteza ajira yake mpya

$
0
0
Kuna dada mmoja ambaye ameolewa na ana watoto wawili tayari, ameitwa kazini kwenye moja ya taasisi za fedha.Hofu yake ni kwamba anaenda kujaza mkataba wakati tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja.

Je ujauzito wake hautaleta shida mara baada ya pregnancy complications kuanza? Na je kuna sheria itamlinda na hali yake aliyonayo?
Nawasilisha..

Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>