Quantcast
Channel: Jukwaa la Ajira na Tenda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Huu mkataba wa kazi niusaini au niuache?

$
0
0
Heshima yenu wakuu.

Elimu yangu ni diploma ya ualimu,
Ninafanya kazi ya kufundisha katika shule ya binafsi kwa miezi kadhaa,
Ingawa idadi ya wanafunzi ni Kubwa na vipindi kuwa vingi sana, malipo yameongezeka kidogo tu zaidi ya yale ya serikalini.

Leo nimepewa barua ya mkataba wa miaka miwili, lakini pia nina lengo la kwenda kujionea hali itakavyokuwa kwenye ajira za serikalini zitakapotoka.

Wakuu ni vizuri kuusaini huu mkataba?
Na nisipousaini watanivumilia mpaka miezi miwili mbele?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 14968

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>