Wasailiwa walipata neno kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa ndugu Richard Kasesela. Akisema Usije ukatoa hata senti tano yako kwa nafasi hizi za JKT.
Sergent mmoja ambaye hakujitambulisha jina lake kutoka jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) alianza kwa salamu na Kutoa Takwimu kwa Iringa mjini Kuwa,
Darasa la 7 wanaotakiwa ni 4 Jumla ya maombi ni 284.
Kidato cha nne ni 16 waliomba ni 130
Kidato cha 6 ni 9 waliomba ni 12
Shahada na Stashahada ni 7 waliomba ni 80
Hapa ndipo Usaili wa...
Yaliyojiri Usaili wa JKT Iringa Mjini na Vijijini.
Sergent mmoja ambaye hakujitambulisha jina lake kutoka jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) alianza kwa salamu na Kutoa Takwimu kwa Iringa mjini Kuwa,
Darasa la 7 wanaotakiwa ni 4 Jumla ya maombi ni 284.
Kidato cha nne ni 16 waliomba ni 130
Kidato cha 6 ni 9 waliomba ni 12
Shahada na Stashahada ni 7 waliomba ni 80
Hapa ndipo Usaili wa...
Yaliyojiri Usaili wa JKT Iringa Mjini na Vijijini.