Habari wana Jamvi,
Mnamo tarehe 07/03/2016-10/03/2016 kulifanyika saili ulioendeshwa na Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) na kuahid kutoa mrejesho/matokeo ndani ya wiki mbili
leo mpaka ivi leo hakuna jipya lolote tulilisikia kuhusu taasisi iyo wakitoa majibu ya written interview(Usaili wa kuandika) wakati huo huo mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imeendesha usaili wa kuandika (written interview) tarehe 11/04/2016 na kufanikiwa kutoa majibu tarehe 12/04/2016
Je nini kinashindikana kutoa...
NHIF kuna nini?
Mnamo tarehe 07/03/2016-10/03/2016 kulifanyika saili ulioendeshwa na Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) na kuahid kutoa mrejesho/matokeo ndani ya wiki mbili
leo mpaka ivi leo hakuna jipya lolote tulilisikia kuhusu taasisi iyo wakitoa majibu ya written interview(Usaili wa kuandika) wakati huo huo mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imeendesha usaili wa kuandika (written interview) tarehe 11/04/2016 na kufanikiwa kutoa majibu tarehe 12/04/2016
Je nini kinashindikana kutoa...
NHIF kuna nini?