Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)
==============
July 2014 UPDATE: