Kwa wale fresh graduates huwa kuomba Kazi unafanyaje,unakuta vigezo vyote vipo isipokuwa ya experience,wengine wanakaa kitaa hata mwaka mzima,je wenzangu mnaoapply huwa ukiona hicho kigezo mnatuma maombi au unaacha?na kuna mliofanikiwa kuitwa bila kigezo cha experience na mkapata Kazi?
↧